iqna

IQNA

wasomaji maarufu
Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 10
TEHRAN (IQNA) - Misri imeweza kuibua wasomaji wengi mashuhuri wa Qur’ani ambao wamevuma katika ulimwengu wa Kiislamu. Mmoja wao ni Sheikh Muhammad Abdul Aziz Hassan, qari ambaye aliweza kuingiza mitindo ya zamani na ya kisasa na kuunda mtindo wake wa qiraa ya Qur'ani Tukufu kusoma.
Habari ID: 3476105    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17